Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
Uwanja wa Taifa ulizinduliwa na Stars Vs Uganda, ikapigwa gemu ya usiku na Stars ilishinda 1 kupitia ABDI KASSIM BABY ballack wa Unguja. Umeme ulikatika for several minutes huku tukipiga mayowe wanazindikaaaaa. So ukisema ulizinduliwa na Msumbiji sijakupata mkuu
Uko sahihi mkuu,hii mechi nilikuwepo.Nakumbuka picha ya baba Riz ilikuwa inaonekana pale kwenye screen watu wanashangilia.Uwanja wa Taifa ulizinduliwa na Stars Vs Uganda, ikapigwa gemu ya usiku na Stars ilishinda 1 kupitia ABDI KASSIM BABY ballack wa Unguja. Umeme ulikatika for several minutes huku tukipiga mayowe wanazindikaaaaa. So ukisema ulizinduliwa na Msumbiji sijakupata mkuu
Hii ilikuja baadaye,ilikuwa baadaye sana.Ntakuwa nimechanganya madesa, kuna mechi tulifungwa 1 bila na jamaa anaitwa Tiko au Tikotiko, hii ndo mechi ya kwanza mimi kuangalia pale uwanja wa Taifa nikijua ndo uzinduzi.
Thanks kwa kunikumbusha mkuu.
Ajibu migombaAll the best simba yangu
Ndio nani huyoAjibu migomba
Baada ya mechi nitakuchekNdio nani huyo
Nipo mimiBaada ya mechi nitakuchek
Yaani umenizidi tabia! Wewe ni mjasiriamali halisi, kwa kubuni njia ya kujiongezea likesnahitaji likes za wanasimba wenzangu tu
Tuna uwezo wa kukukojolesha hata tukibaki 8 uwanjani, kumbuka mwaka Jana Kichuya a.k.a the new Dua Saidi of MsimbaziSimba lazima atoke mchuzi jumamosi...
Demu akikutega si unamla bila hata kumpa mia