super mimi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 223
- 172
a umekosa.....
Jibu ninalo.mmekosa majibuuuu....changanyeni bongo hizo
Year......eJibu ninalo.
Ngoja watiririke halafu Mimi niwe wa mwisho, nikupe jibu sahihi.
Kuna Mdau ameshajibu sema alitakiwa atoe ufafanuzi.
Mwambie atoe ufafanuzi
Kama una chemsha bongo yoyote ile iwe kwa mtindo wa maandishi au picha,,tupia hapa..tuchangamshe bongo zetu
1.nani kaketi kwenye sofa hapo kati ya mkaka na mdada
5TANK NAMBA NGAPI LITAANZA KUJAA MAJI
Yupo kwenye kidevu cha mwanaume aliegeukia upande wakuliamtafute sungura katika picha hii
umekosa
Umepatia.
Umekosa.
Funguo ziko kwenye bilauri ya pombe. (Beer mug)tafuta funguo katika picha hii
na wewe umekosaUmekosa.
Nipe Mji, nikupe jibu.
Kama vipi nijichagulie Mji mwenyeweπ.
Haya, ngoja nishuke.
Jibu ni Tangi nambari Tano (5).
Kivipi?
Shuka chini, nikupe mpango mzima:-
safiiii...uko vizuriFunguo ziko kwenye bilauri ya pombe. (Beer mug)
Ukikuza picha kwa karibu utauona.
π.na wewe umekosa
Jibu namba 5Umekosa.
Nipe Mji, nikupe jibu.
Kama vipi nijichagulie Mji mwenyeweπ.
Haya, ngoja nishuke.
Jibu ni Tangi nambari Tano (5).
Kivipi?
Shuka chini, nikupe mpango mzima:-
Pamoja.