Nikiwa Mdogo mama yangu aliniambia watoto hununuliwa hospitalini
Bibi yangu aliniambia eti nikimchungulia mti akiwa uchi nitajikuta juu ya mti mkubwa na sitaweza kushuka hii iliniogopesha ila Leo najua sababu
Karibu na nyumbani kulikuwa na msitu mnene hivi kama kilometa mbili hapo baba aliniambia eti katika maitu ule kuna nyoka mwenye vichwa saba.
Kuna wadudu flani hivi tuliambiwa kuwa ukiwachezea eti wanailukia puani na huwezi kuwatoa
Ni mengi sana ya wanyonya damu na mikwala kibao leo tumekua tunagudua yalikuwa ni makatazo ya kutuonya kisaikolojia.
Wewe ulidanganywa nini utotoni
Karibu