Uzi maalum wa ku-boost biashara zetu

Uzi maalum wa ku-boost biashara zetu

Kwa mahitaji ya cakes za birthday, karibu0744389200 tukuhudumie
IMG-20230219-WA0016.jpg
 
Kwa mahitaji ya dawa za kupunguza unene, kitambi na nyama uzembe napatikana kwa namba 0679094097 na 0689094097 nafanya delivery
1716188907.jpg
 
Nauza Scientific Calculators mashuleni Walimu wakuu wasajili na academicians karibuni tupeane dili
Unaweka tu kipengele cha Calculator kwenye joining yako watoto wakija naleta naacha na commission ya laki 2 kwa kila machine 100
Karibuni PM sana haswa kipindi hiki vijana wa Advance wanapoanza kuripoti
 
Nauza Scientific Calculators mashuleni Walimu wakuu wasajili na academicians karibuni tupeane dili
Unaweka tu kipengele cha Calculator kwenye joining yako watoto wakija naleta naacha na commission ya laki 2 kwa kila machine 100
Karibuni PM sana haswa kipindi hiki vijana wa Advance wanapoanza kuripoti
Mbona hujaweka namba ya simu? Weka na picha kama inawezekana
 
Mimi nakuza accout za social media za biashara na binafsi kwa Malengo ya kuifanya accout yako kuwa kubwa (followers wengi) na kuwa na mvuto kwa wateja wako. Accout kubwa inatengeneza imani na u serious kwa mteja wako.

karibuni saana WhatApp na call 0658644485
 
JODAM-SUPPLY, NEW AND USED IN TOWN

Je unataka kuuza vitu vyako, ?

UNATAKA KUHAMA , KUNA VITU HUTAKI KUBEBA ??

UNA SHIDA ZAKO BINAFSI ??

*TUNANUNUA BIDHAA HALALI KWA BEI YA KAWAIDA

BIDHAA ZOTE ZIWE DAR ES SALAAM

PIGA AU BIPU 0768101677

Jiunge na grp letu la Whatsapp kwa bidhaa mbalimbali Follow this link to join my WhatsApp group: Jodam supply new and used in town

Bei ni za jumla , yaani nafu saana
Screenshot_20230220_065910_TMWhatsApp.jpg
 
Nile vyakula gani ili nipunguze 2kgs kwa mwezi?
Epuka kula vyakula vyenye mafuta, sukari na vyakula vyote vya kusindikwa, vinywaji vyote kama vile Juisi za viwandani, Soda na Pombe za vimea(bia)...Pendelea kula vyakula vilivyopikwa kwa njia ya chukuchuku(kuchomwa au kuchemshwa)...kula matunda au juisi za matunda zisizo za viwandani, kunywa maji mengi ikiwezekana unywe glass moja ya maji ya moto kila siku asubuhi au mchana na ule kwa utaratibu mzuri kwa kufanya hivyo sio kupungua uzito tu utairudisha afya yako kwenye mfumo wa kawaida
 
Biashara ni mbegu, ili mbegu ikue inahitaji kumwagiliwa, mbolea, palizi, pruning etc. Hivyo hivyo biashara ili ikiwe inahitaji promotion na advertisement.

Kila biashara inahitaji watu, watu ambao ni wanunuzi, watu ambao ni wateja, nk.

Leo kupitia uzi huu mention biashara yako na mahali ilipo, ielezee kwa uzuri tu.
Kwa uhitaji wa popcorn quality tupo mbagala Rangitatu namba ya simu 0629100287. Birthday part,harus, pia tunapokea oda kupop kwnye sherehe zingine karibuni.
 
Kwa uhitaji wa popcorn quality tupo mbagala Rangitatu namba ya simu 0629100287. Birthday part,harus, pia tunapokea oda kupop kwnye sherehe zingine karibuni.
Nikiwa naenda St. Matthew nitakuja aisee
 
JODAM-SUPPLY, NEW AND USED IN TOWN

Je unataka kuuza vitu vyako, ?

UNATAKA KUHAMA , KUNA VITU HUTAKI KUBEBA ??

UNA SHIDA ZAKO BINAFSI ??


*TUNANUNUA BIDHAA HALALI KWA BEI YA KAWAIDA

BIDHAA ZOTE ZIWE DAR ES SALAAM

PIGA AU BIPU 0768101677


Jiunge na grp letu la Whatsapp kwa bidhaa mbalimbali Follow this link to join my WhatsApp group: Jodam supply new and used in town

Bei ni za jumla , yaani nafu saanaView attachment 2527484
Poa sana, mko sehemu gani hapa Dar es Salaam?
 
Watengenezaji na wauzaji wa juice ya miwa halisia, ice-cream (koni), ubuyu mtamu wa Zanzibar na bites,

Karibuni sna Tunapatikana Tanga mjini jirani na geti la Tanga schools kwa mawasiliano 0656 076 624.
IMG_20230307_150748_065.jpeg
IMG_20230301_132601_365.jpeg
 
Tunanunua chuma chakavu Kama una gari bovu au makorokoro yeyote ya electronic nicheki nskuja kwako tunakubaliana Bei Malipo ni cash
 
Back
Top Bottom