Uzi Maalum wa Kubadilishana Materials ya Ujenzi, Kila mmoja ajenge

Uzi Maalum wa Kubadilishana Materials ya Ujenzi, Kila mmoja ajenge

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Habari wakuu.

Kwanza tutoe pongezi kwa uongozi wa Jamii Forum kutuwekea jukwaa maalum la ujenzi, jukwaa tulolisubiri kwa kitambo.

Tunalo tiper la mchanga, hivyo tuna ukaribu wa mchanga. Pia tunajua humu JF kuna watu wana cement ,wengine mabati n.k . Kwenye huu uzi utaeleza unahitaji materials gani ili kubadilishana na materials gani, bei italinganishwa bei ya sokoni ili mbadilishano huu uwe fair bila kumuumiza yoyote.

Wanaohitaji mchanga kwa mbadilishano, Niko Dar Kigamboni na matawi maeneo mengine nje ya Kigamboni.

Piga 0713-039 875
 
Habari wakuu.

Kwanza tutoe pongezi kwa uongozi wa Jamii Forum kutuwekea jukwaa maalum la ujenzi, jukwaa tulolisubiri kwa kitambo.

Tunalo tiper la mchanga, hivyo tuna ukaribu wa mchanga. Pia tunajua humu JF kuna watu wana cement ,wengine mabati n.k . Kwenye huu uzi utaeleza unahitaji materials gani ili kubadilishana na materials gani, bei italinganishwa bei ya sokoni ili mbadilishano huu uwe fair bila kumuumiza yoyote.

Wanaohitaji mchanga kwa mbadilishano, Niko Dar Kigamboni na matawi maeneo mengine nje ya Kigamboni.

Piga 0713-039 875
Haya mambo ya kubadilishana vitu ilikuwa wakati wa ujima. Sasa tupo kidigitali zaidi.
 
𝐍𝐔𝐍𝐔𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐁𝐄𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈.

𝐔𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐊𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐭𝐢 𝟖𝟎 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐨𝐟𝐟𝐞𝐫 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐮𝐦𝐚𝐫𝐢.
𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐚𝐟𝐢𝐫𝐢 𝐛𝐮𝐫𝐞.
𝐂𝐀𝐋𝐋 : 𝟎𝟕𝟔𝟐 𝟕𝟓𝟑𝟏𝟒𝟎, 𝟎𝟔𝟗𝟐 𝟕𝟔𝟑𝟑𝟎𝟔

𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏:𝟎𝟕𝟔𝟐 𝟕𝟓𝟑𝟏𝟒𝟎
 
𝐍𝐔𝐍𝐔𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐁𝐄𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈.

𝐔𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐊𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐭𝐢 𝟖𝟎 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐨𝐟𝐟𝐞𝐫 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐮𝐦𝐚𝐫𝐢.
𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐚𝐟𝐢𝐫𝐢 𝐛𝐮𝐫𝐞.
𝐂𝐀𝐋𝐋 : 𝟎𝟕𝟔𝟐 𝟕𝟓𝟑𝟏𝟒𝟎, 𝟎𝟔𝟗𝟐 𝟕𝟔𝟑𝟑𝟎𝟔

𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏:𝟎𝟕𝟔𝟐 𝟕𝟓𝟑𝟏𝟒𝟎
Na mkoani vp usafiri bure kuanzia 80? Mfano morogoro
 
Ninazo idadi yoyote utakayohitaji mkuu na bei yetu ni 1100 (mazungumzo yapo kwa kwa idadi kubwa) kwa tofali. Ninazungumzia tofali za inchi 5.
Mkuu unapatikana mkoa gani
 
Back
Top Bottom