Baada ya kupata ajali na gari yangu ndogo kama wiki 3 zilizopita niliamua kui-test ile theory yangu ya
placebo effect.
Wakati nimepanda daladala ya Geza-ferry huku nikiwa nimesimama katika mbanano mkali nilifanya manuizi out of nowhere kwamba ndani ya mwezi huu wa 5 ni lazima nitengeneze walau shs.milioni 12, ambayo ningeitumia kutengeneza kigari changu pamoja na kununua SUV walau used hasa katika kipindi hiki cha mvua, maana nilishawahi hadi kuulizia bei ya Toyota surf used humu jamvini.
Siki 3 hazikupita nikapata majibu ya Placebo niliyoinuia, out of knowhere na kwa mfululizo nilipata channel zilizonipatia 4.5m, 2.5m na 5m respectively; sasa leo usiku ndio nimekaa napiga hesabu nikashtuka kukuta kwamba amount ina total 12m exactly, huu ni MSHTUKO mkubwa!
Sasa nataka tufanye mass experimentation, kila mmoja anuie chake then tusubiri mrejesho toka kwa kila atakaeijaribu
Placebo! Jaribu kunuia walau milioni 5 then tuone nini kitatokea.
Jifunze kuhusu PLACEBO na ufanikiwe Maishani!
Utakalo lifanya kesho limeshakuathiri/ linakuathiri leo