Uzi maalum wa kujuana sehemu gani unapitakana au kuishi,ikiwezekana weka jina moja tu

Uzi maalum wa kujuana sehemu gani unapitakana au kuishi,ikiwezekana weka jina moja tu

Jina : Shati
eneo: Kibindoni
Kazi: Kupendeza
Ujumbe : Kijana achana na visuruali sijui ndo vimodo! kuwa gentlemen.
kweli kabisa waachane na visuruali vimodo wavae hizi za hishma.
320b9d9c625fd63ff8331bf3fa416644--harem-pants-men-pants-for-men.jpg
 
Jina:Veniamin


Kazi: -----

Mahusiano:Single

Makazi😛lacerville-Iringa


Ujumbe:Always try to be yourself.
 
Napenda kuchukua nafasi hii ya kutaka kujuaana maeneo tunapopatikana na si lazima kuweka jina lote sababu ya usalama.. lakin unaweza kuweka kazi au kitu kingine ..
Nianze na mimi mwenyewe...
Jina : Bony
eneo: Bunju B, dar es salaam
Kazi: senior electrical engineers
Sina mke wala mtoto ila ndio nipo kwenye mchakato wa kutafuta mwenza...
Ujumbe : Dont wait until you're rich to be happy... happiness is free

Hivi JF baijawahi kijichanganganya ikaajiri mods wa kutoka kitengo?
 
Umetumwa na wang'oa meno na kucha bila ganzi nini, thubutu, hata wakinikamata isiwe kwa "kujipeleka" mwenyewe!!
 
kuweni makini wakuu kuna watu hawana nia njema na pia lazima mtambue kua humu jf tunachukiwa saana na watawala..... kuna watu wanaomba jf ife hata leo... maxence melo ni genius yeye sio mjinga kukubali kushtakiwa kwa kuficha ID zetu..... mi nadhani kama kuna mtu anataka kufahamiana na mtu ni rahisi sana kumfuata pm na kujuana ila kamwe siwezi na sifikirii kutaja hata mtaa ninaoishi.....
 
Napenda kuchukua nafasi hii ya kutaka kujuaana maeneo tunapopatikana na si lazima kuweka jina lote sababu ya usalama.. lakin unaweza kuweka kazi au kitu kingine ..
Nianze na mimi mwenyewe...
Jina : Bony
eneo: Bunju B, dar es salaam
Kazi: senior electrical engineers
Sina mke wala mtoto ila ndio nipo kwenye mchakato wa kutafuta mwenza...
Ujumbe : Dont wait until you're rich to be happy... happiness is free
ahaaa wazo lako zuli lakini ungeishia jina na makazi kwenye kazi wengine ni ma silent kilaa....
 
kuweni makini wakuu kuna watu hawana nia njema na pia lazima mtambue kua humu jf tunachukiwa saana na watawala..... kuna watu wanaomba jf ife hata leo... maxence melo ni genius yeye sio mjinga kukubali kushtakiwa kwa kuficha ID zetu..... mi nadhani kama kuna mtu anataka kufahamiana na mtu ni rahisi sana kumfuata pm na kujuana ila kamwe siwezi na sifikirii kutaja hata mtaa ninaoishi.....
mkuu umeona mbali mashushu wengine wanatufuata hadi pm jamani yupo mmja namtakia maisha mema ...
 
Back
Top Bottom