Uzi maalum wa kujuzana mambo yaliyopigwa marufuku.

Cowman

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
1,715
Reaction score
3,158
Vyuma vimekaza, grisi imekua shida kupatikana na watu tupo busy na maisha. Hivyo kwa namna moja au nyingine unawezajikuta unakosa muda wa kupata habari, kupitia uzi huu tuwe tunapeana updates ya vitu na matukio yaliyopigwa marufuku.

Si ruhusu tena;
[emoji830]Kuvaa nguo fupi, za kubana au zinazoonyesha maumbile.
[emoji830]Kuvaa mlege, suruali za kuchana na kunyoa duku.

Ongeza na zingine twende sawa.
 

Wapi yalipokatazwa huko?

Tatizo wabongo hatujui haki zetu na uliopitiliza! Wanaweza wakanikamata nimenyoa kiduku na nikaenda Mahakamani kufungua kesi ya udhalilisha na nikashinda maana hakuna sehemu iliyoandikwa usinyoe kiduku.
 
Wapi yalipokatazwa huko?

Tatizo wabongo hatujui haki zetu na uliopitiliza! Wanaweza wakanikamata nimenyoa kiduku na nikaenda Mahakamani kufungua kesi ya udhalilisha na nikashinda maana hakuna sehemu iliyoandikwa usinyoe kiduku.
Ni kwa amri ya Kamanda, anasema ni kinyume na maadili ya kitanzania.
 
umesikia hapa ni Korea kaskazini .
maamae !!!
 
Mbona suruali zilizochanika mlege + hereni navaa na hasumbui paka yeyote
 
Mimi nalijua moja tu.
Na lenyewe nalivunja kila siku.

Kugegeda wanafunzi.
 
mi najua ile marufuku ya kuitana bebi,ilipigwa marufuku straight from Songea
 


Walikua wameanza kuitikia wito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…