Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

19050818_1378643615556177_4633716215653597184_n.jpg
 
BARRICK WAMESEMA WATATULIPA KIASI CHOTE WALICHOTUIBIA KWENYE MIGODI KIASI CHA Tsh Trillion 108.
Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.

Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anikopeshe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote.
subiri wakianza kugawa ntakupa 1mil bure
 
Back
Top Bottom