Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Nimeiona mukuluHyoo nshakupa
Nilijua tu utakujaa weweLaiki ulaikiwe
Jaza ujazweee 🙂
Hesabu tu za kwakoHivi kupata LIKES mwisho ngap??
30 zinatoshaUnataka ngapi?
Nimekupa like na wwkula like kidoti
Doh nihifadhi basi hata kwa muda wakati namngojamngojee mwingine mkuu
hata mimi nimeiona kwa kwelNimekupa like
Hahahahahah muone kumbe ulikaa kunivizia nami ntakuvizia kuleeNilijua tu utakujaa wewe
nishahifadhiwa na mimi we endelea kumngojaDoh nihifadhi basi hata kwa muda wakati namngoja
Utakuwa unasubiria kuolewaSijaoa mpaka leo
Sijui Nasubiri nini.
Eeh hapa ni mwendo wa Ku like tu, unaanzia page ya kwanza unagonga likes hadi mwisho.Haaaaa Haaaaa Haaaaa watu mna maneno