Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugomvi wa ngumi huo hatutakugombolezea shauri yakoUtakuwa unasubiria kuolewa
Kule hamtufikii aiseeeMakapuku imekula kwenu zamu yetu sasa kuvuna malike
Chukua na wewe hyoHiyo tayari
Mtoa mada inabidi aingie kwenye JF hall of fameWengine tulijihisi tuna gundu hapa JF hata tuandike vipi point hatupati like, ila mtoa mada kageuka kuwa mkombozi na mfariji kwa sisi watengwa. Mungu akubariki sana!!!
Hahahaha hivi likes zina tija gani vile kisaikolojiaWengine tulijihisi tuna gundu hapa JF hata tuandike vipi point hatupati like, ila mtoa mada kageuka kuwa mkombozi na mfariji kwa sisi watengwa. Mungu akubariki sana!!!
Haaaaa Haaaaa Haaaaa asante mkuu hapa hatuna uchoyo uzi huu ni kupeana likes tuWengine tulijihisi tuna gundu hapa JF hata tuandike vipi point hatupati like, ila mtoa mada kageuka kuwa mkombozi na mfariji kwa sisi watengwa. Mungu akubariki sana!!!
hapana kauandikia geust baada ya kugegedanaWe mleta uzi ni nyoko itakuwa umeuandikia chooni
Mwenyewe nshakupaUshakuka like yngu tayar
Makapuku ndio nini?Makapuku imekula kwenu zamu yetu sasa kuvuna malike
Na kweli kabisa, natamani Faiza aniwowe nikaishi mkuranga mie.Utakuwa unasubiria kuolewa
Hii sipidi si ya kitoto, ukiisha mwezi huu makapuku watakuwa makapuku kweliKule hamtufikii aiseee
Cc: BitozMakapuku imekula kwenu zamu yetu sasa kuvuna malike