Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha natamani nijue umri wako na level yako ya elimu, kwa nini umekuja na uzi kama huu wa kuua uzi wa makapuku au una vita na makapuku?Kisaikolojia zinakufanya ujihisi fresh. Kuna nyuzi hata uandike point vipi hupewi point kumbe hakuna anayekujua lakini humu hatuangalii kujuana ni kupeana likes tu
Wapi sio pazuri mkuu, chumbani kwako(pm)?Huku mkuu sio pazuri
Angalia usije gufulishwa tuNimeacha kufanya kazi ili nitoe malike
Usiulize sana we jinsia za watu,,utakamatwaHahaha nitakunyima like oooh,we angalia mwandiko halafu utajua mie ke au me
Eheee huko huko,ushapata jibuWapi sio pazuri mkuu, chumbani kwako(pm)?
Likes za hapo zimeelekezwa kituo cha polisiWanasema ukiwa hapa Kibiti like haziingii
Je kuna ukweli?
Unantafuta ugomvi, wewe subiri nije nikuchenjueJakitoo agiza chochote kwenye mgahawa huu mimi nitalipia
Gonga ugongweGonga like basi wewe..
Hahahah huwa nakupendea hapo tuUsiulize sana we jinsia za watu,,utakamatwa