mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na mimi msinisahau kwenye safina yenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me mwenyewe bashite au huoni jina(daud)Kuna wale walinzi kama wa Bashite shauri zako
Nimejikuta nacheka...!!Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
Ahaaa mie member wa Kapuku usiturestishe basiR I P MAKAPUKU
daudthefarmer... wewe ndo yule bwana shamba nnJakitoo....
Hahaha kuna nini huko anakolenga ?
Yani Makapuku ChaliiiAhaaa mie member wa Kapuku usiturestishe basi
Liwa uliwe[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha jaza ujazwe
Unafanya nini huku? Au bitoz anawabanaAhaaa mie member wa Kapuku usiturestishe basi
Haya mkuu nimekupa ya sitaJf watu wachoyo Sana wa like utazani wanalipia nimetembelea thread nying Sana ukikuta mtu analike nyingi basi ni Tano tena za kuhesabu..... Hadi nilizan kuna condition aitakiwi zizidi Tano Kumbe ni uchoyo nimejaribu kwenye thred ya the bold ikakubali.... Cheki hapa kuanzia juu kama kuna watu 3 wenye like zaid YA 5 mod nipen ban YA wiki
Ndio mimi mkuu, ila ni bwana shamba wa mkoa sio wa kijiji.daudthefarmer... wewe ndo yule bwana shama nn
Nakutafuta siku nyingi twende shambadaudthefarmer... wewe ndo yule bwana shamba nn
Anawinda mijusi[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Acha kulia mkuuSasa mbona hamnipi hizo like na mimi
Kula like jombaa.Sasa mbona hamnipi hizo like na mimi