barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wewe watafuta nini au ndo mmoja wa wachache??Humu wengi ni wanafunzi maana shule zimefungwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe watafuta nini au ndo mmoja wa wachache??Humu wengi ni wanafunzi maana shule zimefungwa.
Hahaaha au kwenye lami hatulimi mkuu?Duh bwana shamba wa mkoa. Kula like yangu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umemjibu vyemaWewe watafuta nini au ndo mmoja wa wachache??
Hahaha shamba lako liko mjini nini, maana shambani kwako panasoma 4Gheheheh me niko shamba tayari na babu yangu muwindaji
Kumbe mnasoma nilizani mnatoa like tu hadi matusiUnataka likes tu huna lolote wewe
Hadi kimvuli sio penat tuUnakaba hadi penati. Tuachie na sisi tujidai uku
Mnasoma kumbe, nikajua mnatiririka kwenye likes pekeeWewe watafuta nini au ndo mmoja wa wachache??
ngoja na mimi nikampe moja ya herufi kubwa.Anajifanya anakandia Kumbe anasikilizia like. Haya nimempa na mimi
Kipi ss au umevurugwaHivi kumbe uzi wa makapuku ndo kuna pumba kiasi hiki??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmemwamulia mleta Uzi!!Mtoa mada uzi alienda kwa mganga kuomba dawa ya biashara sasa akaambiwa nenda jamii forum kaanzishe uzi wa kijinga jinga tu halaf utaona watakvyochangia na kwel bhanaaa duh watu wanatiririka tu,,haya nipen like zangu
Hahaha nini sasa, unaogopa kutekwa?ooooooh
wanasema toa upewe ,nami natoa mkuu kila mmoja humoUzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau