xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Dakika kumi comment mia unadham mchezooo,,ndio pale ukiwa na duka unauza mpk unatukana wateja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmemwamulia mleta Uzi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika kumi comment mia unadham mchezooo,,ndio pale ukiwa na duka unauza mpk unatukana wateja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmemwamulia mleta Uzi!!
Sitakutania tena maana mmh!kibiti mkuu
Mkuu unamaanisha wapakwa mafuta kama yule msanii, nani vile..!!Nyie ndio wale wapakwa Mafuta
Sio mnyororoHuu hauwezi ukawa uzi hata siku moja. Hii ni kamba
mbn mimi cjapata like jamn....mkosi nn?Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
Ntamwambia na wewe aje akupakeMkuu unamaanisha wapakwa mafuta kama yule msanii, nani vile..!!
Acha kujiombea mabaya mkuuNikipata like 50 nipigwe life ban....
Hizo hapoombn mimi cjapata like jamn....mkosi nn?
Gharika la likes[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Habari ndo hiyo mkuu.Mimi naserereka tuu.nikuoga likes tu
Hahahaaaaa, nitaanza kumpaka'ta' yeye kabla ya kumpaka!!Ntamwambia na wewe aje akupake