The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Madaraka ya kulevya: wanapendafa malike ...Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
Hapo utanisamehe babHapa msiponipa likes 30 najitoa roho
View attachment 524935
ha ha ha ha ha haWe mleta huzi nyoko itakuwa umeuandikia chooni
hahahaha wewe ni jipuNgoja nikatoe ID yangu nyingine gereji ije ilambishwe likes
Kwani wewe hutaki kupewa dole gumba?Nilijua utani kumbe wadau wanamwaga ma-likes
Ushakuka like yngu tayarHahahahahah muone kumbe ulikaa kunivizia nami ntakuvizia kulee
Majibu mubasharaa [emoji1] [emoji1]nishahifadhiwa na mimi we endelea kumngoja
Kula like hapo chalii anguKwani hizo likes mnalipia kodi mbona mi hamnipi..
Hapa makapuku lazima wakaeNilijua utani kumbe wadau wanamwaga ma-likes