Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

6efebc0d68a69ca38e039af79431f277.jpg
yes youuu
 
19228660_1726574960972890_5776070640423403520_n.jpg

RAYVANNY APEWA MWALIKO MAALUM NA JASON DERULO . . Rayvanny ameonekana kuanza kutumia fursa vizuri baada ya kukutana na Jason Derulo nchini Kenya kwenye Coke Studio. . . Msanii huyo wa WCB alionekana akiwa karibu zaidi na Jason kwenye ukumbi wa hoteli ya Stanley iliyopo mjini Nairobi huku wakibadilishana namba na kufanya maongezi kwa muda mrefu. . . . @Rayvanny amethibitisha kwamba alichangamkia fursa hiyo adimu iliyotokea mbele yake na kujadili na msanii huyo wa Marekani masuala muhimu yanayohusu muziki wake. . . . Vannyboy ameongeza kwa kusema, amepewa mualiko maalum na Derulo wa kurekodi nyimbo katika studio za nyumbani kwake na huenda wakafanya kazi ya pamoja na staa huyo wa RnB ambaye alionesha kumkubali Rayvanny.
 
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa hata ukicomment herufi moja tu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
Likes.??
Napenda kweli iyo kitu hasa hasa iwe ya moto maana kwenye kreti hazijaagi na ukienda Kaliakoo ni nusu bei kuliko Canada maana Mkulanga zipo ila sii sana.

Majuzi sasa, akaja akaja akaja...mara tukasikia Okwiiiiiii, eeeh kucheki kumbe ni mamba kamla sisimizi juu ya kidonda. Kikioza kinanuka hasa Tandale mtogole Platnumz beib wake akaja na simu sijui 'wereva' kama ya solo...mmmmh inanuka au inanukia wadau.???

Nimeuliza tu.
 
Back
Top Bottom