Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya saa zile ndiyo tunatumia sasa pata likeTubadilishane tu hamna neno
Wewe ndio uliyetoa kauli mbiu hiyo kule tigo nin?Jaza like ujwaze na ww like
HohohoToka asubh sijafikisha likes 5...watu mnaroho mbaya sana
[emoji23] [emoji23] [emoji97]Aisee raha kama kugawana makinikia
Ha ha ha Naomba nikupe dislike japo haitaonekana mkuuUongo
Chanteee endelea kunipaIle ya saa zile ndiyo tunatumia sasa pata like
Hivi mule inahusiana na nini mana niliwahi ku comment hakuna aliejibu bahati nakuja dakika tu post hata sioni imepotea wapiAnother makapuku forum
Huhuuubasi leo wale wenye ukame wa like wamejazana huku....hahaaaaah.....
Nimefika. Haya, mwageni likes za ukweli. Nakwenda siasani kuteta na watanzania
Halikua swali.Hujaiweka sasa. [emoji2]
Ngoja nikutumieAliyepo karibu na duka anitumie vocha naona kifurushi kinakata huku like nikiwa nazo nyingi....mimi niko huku kibiti