Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Poa sana, unafanana na mpenzi wangu ujue...Janet Kagame
Hongera zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa sana, unafanana na mpenzi wangu ujue...Janet Kagame
Ila dada usiniibie kama acaciaKale nakuwekea like zako
Nawe ni kichwa ngumu, humu ni likes tu, unatafuta nini?yaani nyie watu ni wagumu kuelewa nimesema staki mtu anipe like, sasa ukinipa like na kublock
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapa nakupa kwa furahaKingwendu apewa dili la kushiriki Fast & Furious 9
Hahah ngoj nikachungulieNimekupa hadi PM hujaona
Mbona nimekupa?Acheni roho mbaya hapa ni mwendo wa like tu
Kula hiiAsanteni wakuu wiki hii nilikua na ukame wa like hadi nikaumwa Malaria.
SikuiibiiIla dada usiniibie kama acacia
watu wanakula likeHivi mshakula nyie au bado mwapeana like tu
Mpaka muda huu sijapata jibuWakikujibu, uniite
[emoji7] [emoji7] [emoji7]Looh nakesha hap leo
Ogopa sana kitu "like" watu wanatililika kuzisaka
Mpaka saa 10 jioni itafika page 500Ogopa sana kitu "like" watu wanatililika kuzisaka
UnitedStand ipi?
EmmyNimeshagonga best
Aisee shairi la zamani sana!KARUDI BABA MMOJA .......TOKA SAFARI YA MBALI
KAVIMBA YOTE MAPAJA....NA KUTETEMEKA MWILI
WATOTO WAKE WAKAJA ...ILI KUMTAKA HALI
WAKATAKA NA KAULI... IWAFAE MAISHANI
NimekutumiaNitawatuliza mkuu tuma ya buku
[emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji7] [emoji7] [emoji7]