Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] Nataka kujiajiriNa kwanini ukubali maisha yakushinde?
Mada za ki.puuzi kama hizi mwiko JF....Tuko kwenye Makinikia nyie mnata like...???
Haya nipeni hizo likes fasta
Kupenda likes hakujawahi kumuacha mtu salama.Mada za ki.puuzi kama hizi mwiko JF....Tuko kwenye Makinikia nyie mnata like...???
Haya nipeni hizo likes fasta
Umeshafika safari yake!uwiii uzi unatembea
UnathemaaaaNaona members mmechoka afadhali tupumzike kha!
Like kwanza alafu ndo useme hatariiiiHatariiiiiiii
Tupumzike!Unathemaaaa
Watu tunapenda likes kweli... sio kwa spidi hii ya bandikoLike kwanza alafu ndo useme hatariiii
Hapa hakuna mijadala, ni mwendo wa kutwangana likes tuu..ngoja tuone mijadala mbalimbali inayoendelea.