Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Hiyo basiHapa hakuna mijadala, ni mwendo wa kutwangana likes tuu..
Duu ze nidifulu bana unitwangie na mimi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo basiHapa hakuna mijadala, ni mwendo wa kutwangana likes tuu..
Duu ze nidifulu bana unitwangie na mimi..
Ngoja niongeze bidii, leo za ubweleleZikusanye tu dada angu. Habari yako?
Luuh..!![emoji52]Looh
kazi zilikuwa nyingi ndugu yangunilikumiss pia cjui ulienda api afu ujaaga
nimekalia kiti cha mbao halafu ni cha zamani kweli yaniMi nimekalia kigoda,we umekalia nini?
na wewe kula like yangu.Tushakupa
Aliyekwambia waloanzisha huu uzi na tunao comment sio mabilionea nani?Kweli nmeamn wajinga ni wengi, ukitaka kuwa billionaire anzisha kaz kijinga, thread zenye maana hazina watu ila Uzi huu hauna hata mkia umejaza nzi namna hii!!!
Mm sitak hata ma like yenu hayo!
Kama ingewezekana kukupa double likes ningekupa mana ujumbe mzur kabisa umenifanya nikumbuke rafiki zangu wa kweliA friend who understands your tears is much more valuable than a lot of friends who only know your smile.