Karibu kwa waheshimiwa!nitarudi ngoja nikae sawa mkuu
QUIGLEYNani huyo bando au chaj
Nakuona!!!!lightning
Kweli nmeamn wajinga ni wengi, ukitaka kuwa billionaire anzisha kaz kijinga, thread zenye maana hazina watu ila Uzi huu hauna hata mkia umejaza nzi namna hii!!!
Mm sitak hata ma like yenu hayo!
usiposhiba like usemenshakaribia mkuu nakula tuu likes hapa
Ukhuty.. Yaani umebobea mpaka umeamua kuguna tu Mmm!
Upo my dear. Miss u. [emoji8]kazi zilikuwa nyingi ndugu yangu