"Ni vigumu kukaribisha katika maisha yako elimu na maarifa mapya ikiwa unakumbatia kwa wivu mkubwa elimu na maarifa uliyokuwa nayo tayari. Si wakati wote kujifunza ni kuongeza elimu au maarifa, wakati mwingine kujifunza ni kupoteza au kufuta ulichowahi kukijua kabla.
"Ni vigumu kukaribisha katika maisha yako elimu na maarifa mapya ikiwa unakumbatia kwa wivu mkubwa elimu na maarifa uliyokuwa nayo tayari. Si wakati wote kujifunza ni kuongeza elimu au maarifa, wakati mwingine kujifunza ni kupoteza au kufuta ulichowahi kukijua kabla.
"Ni vigumu kukaribisha katika maisha yako elimu na maarifa mapya ikiwa unakumbatia kwa wivu mkubwa elimu na maarifa uliyokuwa nayo tayari. Si wakati wote kujifunza ni kuongeza elimu au maarifa, wakati mwingine kujifunza ni kupoteza au kufuta ulichowahi kukijua kabla.
"Ni vigumu kukaribisha katika maisha yako elimu na maarifa mapya ikiwa unakumbatia kwa wivu mkubwa elimu na maarifa uliyokuwa nayo tayari. Si wakati wote kujifunza ni kuongeza elimu au maarifa, wakati mwingine kujifunza ni kupoteza au kufuta ulichowahi kukijua kabla.
"Ni vigumu kukaribisha katika maisha yako elimu na maarifa mapya ikiwa unakumbatia kwa wivu mkubwa elimu na maarifa uliyokuwa nayo tayari. Si wakati wote kujifunza ni kuongeza elimu au maarifa, wakati mwingine kujifunza ni kupoteza au kufuta ulichowahi kukijua kabla.
Akili ni kama uzuri wa sura. Unaweza kujiona unazo na ukaambiwa huna, unaweza kuwa nazo na ukafika sehemu ukakuta wengine wamezidisha viwango. Unazo na hauna kulingana na ulipo, akili zina rejesta.
Akili ni kama uzuri wa sura. Unaweza kujiona unazo na ukaambiwa huna, unaweza kuwa nazo na ukafika sehemu ukakuta wengine wamezidisha viwango. Unazo na hauna kulingana na ulipo, akili zina rejesta.
Akili ni kama uzuri wa sura. Unaweza kujiona unazo na ukaambiwa huna, unaweza kuwa nazo na ukafika sehemu ukakuta wengine wamezidisha viwango. Unazo na hauna kulingana na ulipo, akili zina rejesta.
Akili ni kama uzuri wa sura. Unaweza kujiona unazo na ukaambiwa huna, unaweza kuwa nazo na ukafika sehemu ukakuta wengine wamezidisha viwango. Unazo na hauna kulingana na ulipo, akili zina rejesta.
Akili ni kama uzuri wa sura. Unaweza kujiona unazo na ukaambiwa huna, unaweza kuwa nazo na ukafika sehemu ukakuta wengine wamezidisha viwango. Unazo na hauna kulingana na ulipo, akili zina rejesta.