Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ishi kama unacheza drafti, angalia mchezo wa mbele na nyuma kwasababu kotekote unaweza kuliwa.
Mimi nitakutangulia, na kuisawazisha milima mbele yako. Nitaivunjavunja milango ya shaba, na kuvikatakata vizuizi vyake vya chuma. Nitakupa hazina zilizofichwa gizani, na mali iliyo mahali pa siri, upate kutambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” — Isaya 45:2-3
✅️✅️Mimi nitakutangulia, na kuisawazisha milima mbele yako. Nitaivunjavunja milango ya shaba, na kuvikatakata vizuizi vyake vya chuma. Nitakupa hazina zilizofichwa gizani, na mali iliyo mahali pa siri, upate kutambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.” — Isaya 45:2-3