Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Imani bila matendo ni kazi bure. Huna sababu hujaomba, na kufanya kazi kwa nguvu zote na kusubiri katika imani ni sehemu ya kuomba. Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.