Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Kwenye mapambano yako ondoa kabisa mawazo ya kuwa kama utaanguka huko mbeleni yupo mtu fulani atakusaidia.
Ondoa kabisa na ikitokea wakawepo wapokee ila usiwaweke akilini.

Kama umeamua kumuamini Mungu muamini mazima mazima yeye pekee.
lakini mungu hatoshi

wangapi wanamuamini na wanafia matatizoni

hatuna budi kutegemeana
 
Back
Top Bottom