myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
ππMafanikio yana hitaji unyenyekevu na uwe tayari kujifunza kila siku.
βοΈβοΈWengine hatukupata fursa ya kuchagua maishaβ¦ tumezaliwa kwenye maisha tuliyonayo!"
β οΈβ οΈβ οΈTunaweza tusiwe bora kwenu, Lakini sisi ni bora sana kwenye familia zetu
πππJifunze Kupunguza Matarajio Ita Kusaidia Kupunguza Maumivu
βοΈβοΈβοΈJifunze Kupunguza Matarajio Ita Kusaidia Kupunguza Maumivu
Kwenye mapambano yako ondoa kabisa mawazo ya kuwa kama utaanguka huko mbeleni yupo mtu fulani atakusaidia.
Ondoa kabisa na ikitokea wakawepo wapokee ila usiwaweke akilini.
Kama umeamua kumuamini Mungu muamini mazima mazima yeye pekee.
Kwenye mapambano yako ondoa kabisa mawazo ya kuwa kama utaanguka huko mbeleni yupo mtu fulani atakusaidia.
Ondoa kabisa na ikitokea wakawepo wapokee ila usiwaweke akilini.
Kama umeamua kumuamini Mungu muamini mazima mazima yeye pekee.
Kwenye mapambano yako ondoa kabisa mawazo ya kuwa kama utaanguka huko mbeleni yupo mtu fulani atakusaidia.
Ondoa kabisa na ikitokea wakawepo wapokee ila usiwaweke akilini.
Kama umeamua kumuamini Mungu muamini mazima mazima yeye pekee.
βοΈβοΈβοΈWengine hatukupata fursa ya kuchagua maishaβ¦ tumezaliwa kwenye maisha tuliyonayo!"
ππsio mbaya kwenye maisha ukikubali kujifunza mambo ambayo huyawezi ama huyajui kabisa kuliko kujikuta nguli ili ufurahishe watu. ujuaji ni ujinga pia.
β οΈβ οΈβ οΈsio mbaya kwenye maisha ukikubali kujifunza mambo ambayo huyawezi ama huyajui kabisa kuliko kujikuta nguli ili ufurahishe watu. ujuaji ni ujinga pia.
SawasawaElimu ya kiafrica inatufanya tufanye kazi ambazo sio chaguo letu
SawasawaUsiruhusu mahusiano yawe sababu ya kuzuia Ndoto zako.
Elimu ya kiafrica inatufanya tufanye kazi ambazo sio chaguo letu
Usiruhusu mahusiano yawe sababu ya kuzuia Ndoto zako.
ELIMU..Elimu ya kiafrica inatufanya tufanye kazi ambazo sio chaguo letu
ππKuna watu hawatakupa Pesa, ila wameletwa wakufungue akili ili uone pesa ilipo
Ukomavu ni pamoja na kutunza siri za aliyekuwa rafiki yako ilihali ya kuwa urafiki wenu umeshakufa.
Ukomavu ni pamoja na kutunza siri za aliyekuwa rafiki yako ilihali ya kuwa urafiki wenu umeshakufa.
β οΈβ οΈβ οΈKwa safari ndefu uliyotembea usikubali tena kurudi ulikotoka, Hata kama mbele yako umeandikiwa Hakuna njia