Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Maisha yana tabia ya kukurudishia kile kile unachotoa. Ukiwa mtu wa hasira utakutana na watakaokukasirisha. Ukiwa mtu wa amani, maisha yanakukutanisha na watakaokupa amani.

Ukiwa mtu wa majungu, dharau na kushushua watu, utakutana na hao hao watakaokupiga majungu,
 
Maisha yana tabia ya kukurudishia kile kile unachotoa. Ukiwa mtu wa hasira utakutana na watakaokukasirisha. Ukiwa mtu wa amani, maisha yanakukutanisha na watakaokupa amani.

Ukiwa mtu wa majungu, dharau na kushushua watu, utakutana na hao hao watakaokupiga majungu,
 
Maisha yana tabia ya kukurudishia kile kile unachotoa. Ukiwa mtu wa hasira utakutana na watakaokukasirisha. Ukiwa mtu wa amani, maisha yanakukutanisha na watakaokupa amani.

Ukiwa mtu wa majungu, dharau na kushushua watu, utakutana na hao hao watakaokupiga majungu,
 
Maisha yana tabia ya kukurudishia kile kile unachotoa. Ukiwa mtu wa hasira utakutana na watakaokukasirisha. Ukiwa mtu wa amani, maisha yanakukutanisha na watakaokupa amani.

Ukiwa mtu wa majungu, dharau na kushushua watu, utakutana na hao hao watakaokupiga majungu,
 
Unapomwombea (mtakia) mtu mabaya kisa mmekosana, unakuwa umejikweza na kujipa umuhimu usiokuwa nao. Hakuna kitakachomtokea.

Mtu hapatwi na ubaya kwa vile aliwahi kukosea. Tabia za mtu ndizo zinazomkutanisha na matokeo yanayomletea shida huko aliko na sio ubaya aliowahi
 
Unapomwombea (mtakia) mtu mabaya kisa mmekosana, unakuwa umejikweza na kujipa umuhimu usiokuwa nao. Hakuna kitakachomtokea.

Mtu hapatwi na ubaya kwa vile aliwahi kukosea. Tabia za mtu ndizo zinazomkutanisha na matokeo yanayomletea shida huko aliko na sio ubaya aliowahi
 
Unapomwombea (mtakia) mtu mabaya kisa mmekosana, unakuwa umejikweza na kujipa umuhimu usiokuwa nao. Hakuna kitakachomtokea.

Mtu hapatwi na ubaya kwa vile aliwahi kukosea. Tabia za mtu ndizo zinazomkutanisha na matokeo yanayomletea shida huko aliko na sio ubaya aliowahi
 
Unapomwombea (mtakia) mtu mabaya kisa mmekosana, unakuwa umejikweza na kujipa umuhimu usiokuwa nao. Hakuna kitakachomtokea.

Mtu hapatwi na ubaya kwa vile aliwahi kukosea. Tabia za mtu ndizo zinazomkutanisha na matokeo yanayomletea shida huko aliko na sio ubaya aliowahi
 
Ukifanikiwa kumtenganisha mtu na msimamo wake, unaweza kupinga vikali msimamo wake na bado ukamheshimu kama rafiki, ukastahi utu wake na kulinda uhuru wake wa kuamua na kusimamia anachokiamini.
 
Screenshot_20250304-190846_Breaking News.png
 
Back
Top Bottom