Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ukifanikiwa kumtenganisha mtu na msimamo wake, unaweza kupinga vikali msimamo wake na bado ukamheshimu kama rafiki, ukastahi utu wake na kulinda uhuru wake wa kuamua na kusimamia anachokiamini.