myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
📌📌📌
Ukifanikiwa kumtenganisha mtu na msimamo wake, unaweza kupinga vikali msimamo wake na bado ukamheshimu kama rafiki, ukastahi utu wake na kulinda uhuru wake wa kuamua na kusimamia anachokiamini.