Hatuwezi kuwa bora kwa kuwashusha wengine, hatuwezi kufanikiwa kwa kuwazibia wengine, hatuwezi kuwa na amani kwa kuwakosesha wengine furaha, tusifanye makosa ya kuamini rizki zetu zinazibwa na Mtu mwingine.
Wakati mwingine mtu mmoja unayetaka aanguke ana watu zaidi ya 20 nyuma wanaomtegemea mkate wake, chuki ni mzigo usiubebe.