Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Jifunze kuishi na marafiki, usijiachie kwa kila jambo lako,ishi nao kwa uangalifu, rafiki akigeuka adui uwa adui hatari sana, kwasababu anajua kila kitu chako, atatumia nafasi hiyo kukuangamiza,muamini rafiki yako lakini jiandae kwa mapambano dhidi yake , tuishi kwa tahadhari
Jifunze kuishi na marafiki............
 
Jifunze kuishi na marafiki, usijiachie kwa kila jambo lako,ishi nao kwa uangalifu, rafiki akigeuka adui uwa adui hatari sana, kwasababu anajua kila kitu chako, atatumia nafasi hiyo kukuangamiza,muamini rafiki yako lakini jiandae kwa mapambano dhidi yake , tuishi kwa tahadhari
Jifunze kuishi.....
 
Kukata tamaa ni moja ya kituo katika safari ya maisha na kujitafuta , ukifika hicho kituo usijute kujiona unakata tamaa wala usipambane kutaka usijisikie hivyo, cha msingi endelea ni sawa kabisa kujiskia vibaya ikiwa mambo yako hayajaa kaa vizuri.endelea na harakati
USIKATE TAMAA...
 
Back
Top Bottom