Tukiumizwa tunapaswa kulia lakini tukisonga mbele, tunapofeli tunapaswa kujipanga, tunapokosewa tunapaswa kusamehe, tunapooneshwa dharau sisi tuwalipe heshima, hatulipi ubaya kwa ubaya, hatuiti kisu kwa kisu, tunalipa upendo kwenye chuki, tunalipa wema kwenye ubaya”