hakikisha mara zote UNAISHI vile upendavyo, hakikisha UNAFANYA VILE vitu vinavyokupa wewe furaha na sio VINAVYOWAPA furaha watu wengine, na KIKUBWA zaidi mara zote hakikisha UNAISHI kwa KUMSIKILIZA MUNGU PEKE YAKE juu ya kile ANACHOSEMA KWENYE MAISHA YAKO!