myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
✅️✅️✅️Kupitia kufanya kazi kwa bidii, uvumilivu na kumuamini Mungu, unaweza kuishi ndoto zako.
✔️✔️✔️Haijalishi Unapotia Magumu Kiasi Gani Kwenye Utafutaji Wako , Hela Zinakuwa mbali na Mifuko Yako.
Na yote hayoo Lakini hatuna Budi Kumshukuru Mungu Kwa Kuwa na Afya Njema.
Haijalishi Unapotia Magumu Kiasi Gani Kwenye Utafutaji Wako , Hela Zinakuwa mbali na Mifuko Yako.
Na yote hayoo Lakini hatuna Budi Kumshukuru Mungu Kwa Kuwa na Afya Njema.
SawaMaisha Ni Vita Usishangae Watu Wako Wa Karibu Sana Ndio Hawapendi Kukuona Ukifanikiwa.
Mafanikio ✔️Kitu pekee Unachotakiwa Ulazimishe kiwe chako ni Mafanikio na sio Moyo wa Mtu
✅️✅️✅️Kikubwa ni kutokata tamaa na kuongeza juhudi utaanguka sana ila utasimama pia Mungu hakunyimi wakati wote tusichoke kumuomba yeye
📌📌📌Utakapojua Kuwa Umepotea Njia Usisite Kuchukua Maamuzi Mapya Ya Kuitafuta Njia Iliyo Sahihi
👍👍👍Utakapojua Kuwa Umepotea Njia Usisite Kuchukua Maamuzi Mapya Ya Kuitafuta Njia Iliyo Sahihi
Kikubwa ni kutokata tamaa na kuongeza juhudi utaanguka sana ila utasimama pia Mungu hakunyimi wakati wote tusichoke kumuomba yeye
👍👍Maisha Ni Vita Usishangae Watu Wako Wa Karibu Sana Ndio Hawapendi Kukuona Ukifanikiwa.
SawaKabla hujawa fanani kua na hadhira kwanza
Inawezekana kabisaUsipokuwa makini na hii mitandao unaweza muonea wivu mtu uliyetakiwa kumuonea huruma
Nakubaliana na Ujumbe huukila mtu amekuja hapa duniani kwa kusudi fulani, lakini pia kila mtu amekuja hapa Duniani na kitu fulani cha kipekee (uniquness) kwa ajili ya kuleta UTOFAUTI.
Ukweli ni kuwa kila mtu amekuja hapa Duniani kwa ajili ya kutimiza safari yake ya maisha!
kila mtu amekuja hapa duniani kwa kusudi fulani, lakini pia kila mtu amekuja hapa Duniani na kitu fulani cha kipekee (uniquness) kwa ajili ya kuleta UTOFAUTI.
Ukweli ni kuwa kila mtu amekuja hapa Duniani kwa ajili ya kutimiza safari yake ya maisha!
✔️✔️Usijidharau kamwe. Wewe ni bora kuliko unavyofikiria.
✔️ ✔️hakikisha mara zote UNAISHI vile upendavyo, hakikisha UNAFANYA VILE vitu vinavyokupa wewe furaha na sio VINAVYOWAPA furaha watu wengine, na KIKUBWA zaidi mara zote hakikisha UNAISHI kwa KUMSIKILIZA MUNGU PEKE YAKE juu ya kile ANACHOSEMA KWENYE MAISHA YAKO!
📌📌kuna WATU watakusifia ukiwa nao kwa sababu wanaona kila mtu anakusifia lakini wakiwa na watu wengine WANAKUSAGIA KUNGUNI ile mbaya
✅✅kuna WATU watakusifia kwa sababu wanafurahia mafanikio yako na wanakuombea kwa DHATI na kwa DHAMIRI ya kweli ufanikiwe zaidi.
KUELEWEKA; na KUKUBALIKA..ukweli mchungu unaotakiwa kuuelewa na kuufanyia kazi katika maisha ni huu wa KUTOKUTAKA KUPENDWA; KUELEWEKA; na KUKUBALIKA na kila mtu. Cha muhimu kwako ni kuwa na i ile hali ya wewe KUJIFAHAMU; KUJIELEWA; na KUJIPENDA!