Pambania ndoto zako,Fanya kazi kwa bidii, Hakikisha unakula vizuri, Fanya Mazoezi ya mwili kilasiku, Ishi maisha ya kupendaza mungu na yenye afya njema.
Ndoto zako hazina mipaka, isipokuwa ile unayojiwekea mwenyewe. Amini katika uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, na usikubali sauti za kushindwa zikuzuie. Mafanikio yako yako mikononi mwako.
Ndoto zako hazina mipaka, isipokuwa ile unayojiwekea mwenyewe. Amini katika uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, na usikubali sauti za kushindwa zikuzuie. Mafanikio yako yako mikononi mwako.
Ndoto zako hazina mipaka, isipokuwa ile unayojiwekea mwenyewe. Amini katika uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, na usikubali sauti za kushindwa zikuzuie. Mafanikio yako yako mikononi mwako.
Ndoto zako hazina mipaka, isipokuwa ile unayojiwekea mwenyewe. Amini katika uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, na usikubali sauti za kushindwa zikuzuie. Mafanikio yako yako mikononi mwako.
Ndoto zako hazina mipaka, isipokuwa ile unayojiwekea mwenyewe. Amini katika uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, na usikubali sauti za kushindwa zikuzuie. Mafanikio yako yako mikononi mwako.
Sehemu yoyote unayopata nafasi ya kufanya kazi haijarishi umeajiliwa au unajitolea we onesha uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu, epuka majungu mwisho muombe sana Mungu ufanye kazi za watu salama.
Sehemu yoyote unayopata nafasi ya kufanya kazi haijarishi umeajiliwa au unajitolea we onesha uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu, epuka majungu mwisho muombe sana Mungu ufanye kazi za watu salama.
Sehemu yoyote unayopata nafasi ya kufanya kazi haijarishi umeajiliwa au unajitolea we onesha uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu, epuka majungu mwisho muombe sana Mungu ufanye kazi za watu salama.
Sehemu yoyote unayopata nafasi ya kufanya kazi haijarishi umeajiliwa au unajitolea we onesha uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu, epuka majungu mwisho muombe sana Mungu ufanye kazi za watu salama.
Sehemu yoyote unayopata nafasi ya kufanya kazi haijarishi umeajiliwa au unajitolea we onesha uwezo wako, fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu, epuka majungu mwisho muombe sana Mungu ufanye kazi za watu salama.
BIDII ndiyo mtaji mkubwa katika chochote kile ufanyacho.
Fanya kazi zako kwa bidii nawe utaona baraka na neema za Mungu zikifurika katika maisha yako kupitia mafanikio.