Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
BIDII ndiyo mtaji mkubwa katika chochote kile ufanyacho.
Fanya kazi zako kwa bidii nawe utaona baraka na neema za Mungu zikifurika katika maisha yako kupitia mafanikio.
Fanya kazi zako kwa bidii nawe utaona baraka na neema za Mungu zikifurika katika maisha yako kupitia mafanikio.