Kila mtu anaweza kuwa tajiri siku moja lakini wachache wanaweza kubakia katika utajiri. Wanaobakia kuwa matajiri ni wale wenye utajiri wa roho, wenye kuinua wengine, wenye utu, wenye nia njema na utajiri wao wa mali na wenye nidhamu ya maisha na hofu ya Mungu."~ Togolani Mavura.