theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Makupuku wana ushirikiano sijapata wahi onaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe makapuku kuna opportunity jmn!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makupuku wana ushirikiano sijapata wahi onaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe makapuku kuna opportunity jmn!!
Umeonaee. Hamna jinsi aisee kuamka mapema ni lazima. [emoji23] [emoji23]Ndio kujipenda sasa usiamka mapema watoto wetu watakula nini mama
Hadi mwezi gani Antonio uchaguzi mkuu[emoji5] [emoji5]Mkuu bado muda wa uchaguzi
Mkuu kumbuka mke wa mtu ni sumu...Huyo ktk avatar ni wewe??
HahaNimekupa hiyo ifute basi
Kulikoni mkuu!Wakuu mimi basi!
Nashukuru...!![emoji120] vp ijumaa inaendaje?Hongera sana aisee [emoji122] [emoji122]
Ngoja ajibu kwanza!Mkuu kumbuka mke wa mtu ni sumu...
Natumainii break ya kwanza hapo ni pm Mrs [emoji4] [emoji4][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ata mi nakuona tu uku karoho kanauma[emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ila pacha wangu anawaona mmoja mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Leo ni leoNapenda kutuma salam kwa mamangu, Bi Kijape Mdogopole, Napenda kutuma salam kwa shemeji yangu, Asha....Napenda kutuma salam kwa mangi muuza duka pale rangi tatu....Asanteni
Hivi hizo pesa watatupatia kweliii au ni blaah blaah blaah tyuuWatu wanafurahia makinikia
Hahaha acha wivu mzee, maandiko yanakataza wivu.Mkuu kumbuka mke wa mtu ni sumu...
Tena wa ubanii kabisaa [emoji8] [emoji8]Kwani na wewe ni pacha wangu [emoji2] [emoji2]
Opportunity ziko hapa kule Kuna wazeeee tu[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe makapuku kuna opportunity jmn!!
Neno la siku hilo kamandakupata like bila kutoa wazo la maana,ni sawa na kupata hela bila kufanya kazi
Kweliii kabisaa [emoji4]Hahaaaa