Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kuleni malike naona mnazembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM siwataki kwa umbeaAchana na siasa hasa za ccm mkuu
Shauri hako, kaka yangu alitangaza kukata watu miguu. Usije ukawa mmoja wao tu [emoji124] [emoji124]Haaaaa nini sasa
Hiyo avatar yako na ID yako wacha kabisaAaah mean Strong boy
Wanashangilia maboso tuuuCCM siwataki kwa umbea
Huyo kaja tu kupata like mpe likeMkuu naomba kazi...
Yeye alivoenda kwa wifi yako alikatwa miguu?!Shauri hako, kaka yangu alitangaza kukata watu miguu. Usije ukawa mmoja wao tu [emoji124] [emoji124]
Mkuu mzma wewe?Tafuta pesa mkuu
Haaaa pm no ntakupigia mremboHadi mwezi gani Antonio uchaguzi mkuu[emoji5] [emoji5]
Huku swafii, Mungu mwema ndo napata lunch hapaNamshukuru allah inakwenda salama sijui huko kwako?
Labda anapiga zege, utafanya?Mkuu naomba kazi...
Kweli mkuu nilijiunga makapuku ndani ya mwezi nimeshiba malike dah bahati mbaya nikapoteza cim ikabidi nibadili no na kila kitu!!Makupuku wana ushirikiano sijapata wahi onaa
Na mimi nipo mbele kuwaandalia maisha mazuriii hata siku nisipokuwepo wasipate tabu kabisaa [emoji4]Umeonaee. Hamna jinsi aisee kuamka mapema ni lazima. [emoji23] [emoji23]
Ngoja aje mwenyewe atakujibu [emoji23] [emoji23]Yeye alivoenda kwa wifi yako alikatwa miguu?!
Unakumbuka mzee wa moyo mashine nae ni mpakwa mafutaWapakwa mafuta wa bwana au kupakwa mafutwa usuguliwe washeli?
Wewe mwanamke wewe acha zako..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] super woman aloooo umenikosha sana [emoji13] [emoji13]
Pata like acha manenoupumzi mtupu! kwani like zina faida gani? huu uzi unawafaa akina jingalao, mjingamimi, Kubwajinga, na Kichwa Kichafu
Kula like cha ubinafsiMimi sitaki likes..!
[emoji122] [emoji122] ndio inavyotakiwa hivyo mkuu. Hongera sanaNa mimi nipo mbele kuwaandalia maisha mazuriii hata siku nisipokuwepo wasipate tabu kabisaa [emoji4]