ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
NipSubiri nikupe tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NipSubiri nikupe tena
Kula likeMemaliza kula dada merudi tenaaa
Mmhh, mkuu umefungulisha kabla ya mudakaribun ftar kwangu leo![]()
Nini?...duh
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Memaliza kula dada merudi tenaaa
Hizi likes zingkua pesa ,,ungeshakua bilionea
Nimeupenda ujumbe kwenye hili lori.
Nishaandaa kila kitu sipend pirika pirik jionMmhh, mkuu umefungulisha kabla ya muda
Nishaandaa kila kitu sipend pirika pirik jionMmhh, mkuu umefungulisha kabla ya muda
Likes unaweza peleka pale kwa shop ya mangi ukimuonyesha anakupa bofloHizo like zina msaada gani!
dada ntavimbiwa mdogo ako mm c unajua navopenda kulaKula like
Basi ngoja nijisogeze maana kiandaliwacho nikuliwaNishaandaa kila kitu sipend pirika pirik jion
Wakiwa wanatoa like wakumbuke kuni tagQUIGLEY, Raphael wa Ureno, Ukhuty, emmyta, loykeys, Mark Msue,na wengine wapeni Like tafadhali.
dada emmy nilikuepo nakula like tu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]