Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Kila siku ni nafasi mpya ya kutimiza malengo lako. Kama wanavyosema "mbuyu ulianza kama mchicha", pia safari yako ya mafanikio huanza taratibu kabla ya kuchanua na kuleta matokeo makubwa. Leo ni siku nyingine tena ya kuanza na kuendeleza mapambano na kufanikisha ndoto zako.
 
Kila uchao, ukipanga mipango na kutimiza uwezo wako unakua. Ukifanya mara nyingi utajiamini na kuwa jasiri zaidi. Unachofanya hakiwi rahisi bali wewe unakuwa bora zaidi, maana utafanya kwa maarifa bila kutumia nguvu nyingi.

Vilevile, ukizoea kutotimiza malengo, utazoea kufeli!
 
Kila uchao, ukipanga mipango na kutimiza uwezo wako unakua. Ukifanya mara nyingi utajiamini na kuwa jasiri zaidi. Unachofanya hakiwi rahisi bali wewe unakuwa bora zaidi, maana utafanya kwa maarifa bila kutumia nguvu nyingi.

Vilevile, ukizoea kutotimiza malengo, utazoea kufeli!
 
Kila uchao, ukipanga mipango na kutimiza uwezo wako unakua. Ukifanya mara nyingi utajiamini na kuwa jasiri zaidi. Unachofanya hakiwi rahisi bali wewe unakuwa bora zaidi, maana utafanya kwa maarifa bila kutumia nguvu nyingi.

Vilevile, ukizoea kutotimiza malengo, utazoea kufeli!
 
Kila uchao, ukipanga mipango na kutimiza uwezo wako unakua. Ukifanya mara nyingi utajiamini na kuwa jasiri zaidi. Unachofanya hakiwi rahisi bali wewe unakuwa bora zaidi, maana utafanya kwa maarifa bila kutumia nguvu nyingi.

Vilevile, ukizoea kutotimiza malengo, utazoea kufeli!
 
Kila uchao, ukipanga mipango na kutimiza uwezo wako unakua. Ukifanya mara nyingi utajiamini na kuwa jasiri zaidi. Unachofanya hakiwi rahisi bali wewe unakuwa bora zaidi, maana utafanya kwa maarifa bila kutumia nguvu nyingi.

Vilevile, ukizoea kutotimiza malengo, utazoea kufeli!
 
Kila mtu yuko kwenye hatua tofauti maishani.
Kila mtu ana malengo yake.
Kila mtu ana safari tofauti.
Kila mtu anatumia njia tofauti kufika safari yake.
Kila mtu ana karama tofauti.
Kila mtu ana upekee wake.

Hatufanani. Tumia utofauti wako kama kigezo. Jiamini, utafika!
 
Kila mtu yuko kwenye hatua tofauti maishani.
Kila mtu ana malengo yake.
Kila mtu ana safari tofauti.
Kila mtu anatumia njia tofauti kufika safari yake.
Kila mtu ana karama tofauti.
Kila mtu ana upekee wake.

Hatufanani. Tumia utofauti wako kama kigezo. Jiamini, utafika!
 
Back
Top Bottom