Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kila mtu yuko kwenye hatua tofauti maishani.
Kila mtu ana malengo yake.
Kila mtu ana safari tofauti.
Kila mtu anatumia njia tofauti kufika safari yake.
Kila mtu ana karama tofauti.
Kila mtu ana upekee wake.
Hatufanani. Tumia utofauti wako kama kigezo. Jiamini, utafika!
Kila mtu ana malengo yake.
Kila mtu ana safari tofauti.
Kila mtu anatumia njia tofauti kufika safari yake.
Kila mtu ana karama tofauti.
Kila mtu ana upekee wake.
Hatufanani. Tumia utofauti wako kama kigezo. Jiamini, utafika!