Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Wanaanzisha biashara, acha waanzishe. Wanapata kazi, acha wapate. Wanavaa suti nzuri, acha wavae. Wanajenga nyumba,Wanaoa , waache waoe, Wanakunywa pombe, acha wanywe. Wapigie makofi, wapongeze, na subiri wakati wako. Ni wakati wao, malengo yao, na ni uwezo wao.
✔️✔️
 
Wanaanzisha biashara, acha waanzishe. Wanapata kazi, acha wapate. Wanavaa suti nzuri, acha wavae. Wanajenga nyumba,Wanaoa , waache waoe, Wanakunywa pombe, acha wanywe. Wapigie makofi, wapongeze, na subiri wakati wako. Ni wakati wao, malengo yao, na ni uwezo wao.
✅️✅️✅️
 
Kuna Muda Ili Tufanikiwe Ni Lazima Tuache Kufanya Vitu Ambavyo Hata Tusipofanya Hatuwezi Kufa. Wengi Wetu Kinachotufanya Tusifanikiwe Angalau Kidogo Ni Kufanya Vitu Ambavyo Havina Ulazima Wa Kuvifanya Pindi Tukiwa Na Kipato Ambacho Awali Mipango Haikua Kufanya Tunayoyafanya.
Inawezekana hili
 
Back
Top Bottom