Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Maisha ni siku 2, Moja kwa ajili yako na nyingine dhidi yako.Hivyo ikitokea kuwa siku ni kwa ajili yako,jiepushe na kiburi na majivuno; na ikiwa ni dhidi yako basi kuwa mwenye subira na uvumilivu,kwani hakika siku zote hizo 2 ni mtihani juu yako