Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Watu hawa watatu ni hazina kubwa sana, usiwachukulie poa kamwe
1. Wale wanaosimama na wewe katika shida na raha.
2. Wale wanaokutaja jina lako kwenye vyumba vilivyojaa fursa.
3. Wale wanaojali hisia zako na afya yako ya akili.
Waheshimu, wathamini, na waombee
1. Wale wanaosimama na wewe katika shida na raha.
2. Wale wanaokutaja jina lako kwenye vyumba vilivyojaa fursa.
3. Wale wanaojali hisia zako na afya yako ya akili.
Waheshimu, wathamini, na waombee