Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Watu wana watu wao ila haitunyimi nafasi ya kuwa karibu nao tunachokifuata kwao ni kile kimejificha ndani yao ambacho watu wao hawakioni ila sisi tumekiona Upendo ndio kitu pekee tunaishi nacho na ndio hicho tuliagizwa tukizingatie