Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Maisha ni safari yenye vituo vingi, na huleta maana tukiyaishi na kuyahisi katika nyakati za furaha na huzuni.
Huwezi kuthamin upande mwingine wa maisha kama utaishia upande mmoja.
Hatupo kwa ajili ya kushikilia hisia mbaya Kwa muda mrefu bali kuzihisi na kuziacha ziende zake.
Huwezi kuthamin upande mwingine wa maisha kama utaishia upande mmoja.
Hatupo kwa ajili ya kushikilia hisia mbaya Kwa muda mrefu bali kuzihisi na kuziacha ziende zake.