Uzi maalum wa kupeana offer za vocha

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu ninaanzisha Uzi maalumu lengo lake Ni kupeana zawadi za vocha na muhusika atakayepewa vocha katika PM lazima aje atoe ushahidi hapa katika Uzi huu yaani unachofanya Ni Una mtag member unayemnunulia vocha halafu unaenda kwenye PM yake unamtumia namba za vocha uliokwangua halafu na yeye lazima je alete mrejesho hapa Kama kweli ameipokea vocha na imekubali.

Naanza Mimi mwenyewe natangaza kumtumia vocha ya buku Smart911 aniambie tu Ni mtandao gani anatumia nimtumie chap kwa haraka

Wapili sijui nimtumie Nani embu wa siti ya mbele kabisa first ku reply ndo nimtumie karibuni

Mtag member na umtumie vocha Ni kwa hisani ya upendo tu.

Haya Maisha tu vocha Ni vitu vya kupita
 
Uzi ni mzur ila mtoa Mada rekebisha apo kweny Ku tag mtu maalum wa kumpa vocha itapendeza kama mtu yoyote unaweka namba au Screenshot yoyote atae wahi anapokea vocha anatoa mlejesho lakn sio kwa hiyo mbinu yako
 
Mambo ya kupeana namba za simu kijanja haya

Mwisho wa siku kuna watu watakuwa wamepata trick za kutafunana
Na wapinga wapinga watadakwa humo humo! Yaani kirahisi kwa vocha ya buku!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wakuu mko vizur watu tunalia njaa huku embu mtupe hizo connection na sisi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…