BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
HahahahahahaView attachment 620494 mim mkaka akiwa na body la hivi hata kumkataa hua najiuliza mara mbili mno,bora kufurahisha nafsi maisha mafupi,,wakaka wenye mabody ya hivi na sura za wastani mbarikiwe mnanipaga raha hata kuwatazama tu
Sura ya bia
Nije pm unipe storykwa nini? usiniache bwana
Uwa unapenda kujitoa fahamukwa nini? usiniache bwana
WalaaaUwa unapenda kujitoa fahamu
Haya bwanaWalaaa
Uko poa lakini?Haya bwana
Endelea kujisaulishaUko poa lakini?
Hivi mtu akikupenda huwa unashtukia?
Unasema kweli au unatania [emoji38]View attachment 620494 mim mkaka akiwa na body la hivi hata kumkataa hua najiuliza mara mbili mno,bora kufurahisha nafsi maisha mafupi,,wakaka wenye mabody ya hivi na sura za wastani mbarikiwe mnanipaga raha hata kuwatazama tu
Haya yanasababishwa na ninyi wanaume mnaohubiri chura chura kwani flat screen hana K?
ko hii takataka ni hendsamu ?.Tuachen uswahil na kutaka kujifanya ni wajuaj wa mambo. Tupia picha tu, na sio porojo porojo. Km unapumuliwa unapumuliwa tu, haijalish unatak kujifanya cjui "me" nn nnView attachment 613857
inaonekana madogo wa mashariki ya mbali wanafumua mfereji. sio bure.
[emoji23]Ni yule wa JF?[emoji4][emoji4][emoji4]
Nikajua hadi kumnyonyesha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] akili za usiku hiziiikwani kuna ubaya/ugumu gani??........mbona mimi nimemlea mdogo wangu mpendwa wa kike hadi amekuwa mkubwa,tokea akiwa na mwezi mmoja tulipendana sana hadi hataki mama yake amshike,amlishe wala kumpa nyonyo anataka kila kitu nimpe mimi hadi kulala na mama yetu hataki alikuwa analia!!......nimemlisha mimi,kumuogesha,kumfundisha kutembea,kuongea na kulala nae kila siku hadi amekua mkubwa!!
Chuchu zako zilishaacha kuuma?[emoji53][emoji53][emoji53]Nikajua hadi kumnyonyesha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] akili za usiku hiziii
[emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ndiyoChuchu zako zilishaacha kuuma?[emoji53][emoji53][emoji53]